@user-xl5zd6dz5c11 months agoYa Allah kupitia dua hii naomba unifanyie wepesi katika utafutaji wangu na unifungulie riziki zangu amen 12
@
@gggsaaa582610 months agoYAARRAB tujaalie mwisho mwema na utufanyie wepesi kwa kila palipo na uzito amiin YAARRAB 🤲 8
@
@alphoncymatara51085 months agoYa Allah nakuomba rehema zako juu ya maisha yangu na familia yangu ,pia wapunguzie adhabu ya kaburi wazazi wangu na kunijalia mwisho mwema juu ya maisha yangu na kazi yangu ya Allah nakugemea kwa kila Jambo juu ya maisha yangu ya Allah 🤲🏽 nakuomba unisikie ...3
@
@sophymussa5562last yearNilikuwa na tatizo la kimahakana nimekesha na Dua hii Wallah nimefika tu mahakamani kesi yangu ikaisha bila mie kuhusishwa na chochote. Tumuamini Allah kwa Kila jambo 9
@
@nuruyusuph55628 months agoYaa ALLAH kupitia dua hii nakuomba uniondolee maradhi yote yanayo nisumbua mimi na mama yangu utujahalie heri na salama utuepushe na kila aina ya mabalaa 🤲 2
@
@cpasalma15324 years agoyarrab jaalia kwa dua hii hasad zote ziwe mbali nasi amin yarrab 4
@
@naimarasheed58572 years agoAllah Kareem Mungu atuepushe na mitihani ya kila siku Amiina yarabi 🙏😘 10
@
@bellbell92944 years agoAamiin yaraab Aamiin ya Allah tujaalie nakila lenye kher nautuepushe nakila lenye Shari ss waja wako dhaifu nautujaalie mwisho mwema sote Aamiin jazaka Allahu khair 18
@
@khamzamgandi9524 years agoYa Allah tusamehe makosa ya siri na dhahiri. Amiin tujalie maisha mema. Mpaka mwisho. Utakapo chukuwa mja wako awe n mwenye kumjuwa mungu amiin 34
@
@jasminmsafiri30532 years agoYa rabbi niponye na niondolee kila shida ktk mwili wangu nipe afya njema nilinde me na watoto wng familia yng ndoa yng 2pe amani na furaha amiiin 1
@
@user-hr6hp8rr4u8 months agoYaaah ALLaH nakuomba kwa uzito wa dua hii niondolee Lila mitihani kwenye maisha yangu Amiin 1
@
@shamimujumanne52674 years agoYa Allah tujalie kheri duniani na mwisho mwema amiiin 🙏 24
@
@yusufmarutt6081last yearKutokana na uzito wa Dua hii ewe Allah naomba uniepushe na Kila naina na mitihani na misuko suko inayo niandama kwenye maisha yangu na kwenye mwili wangu Amiiiin, niondoshee magonjwa yote yanayonisumbua kwenye mwili wangu na kwenye tumbo langu Amiiin Amiiiin Amiiin ...3
@
@liylahahmed8297 months agoYaa Allah kupitia hii dua naomba uniondole kila matatizo moyoni mwangu InshAllah nipe kila la kheri la furaha amiin InshAllah 2
@
@Atb3004 years agoNakuomba mwenyez mungu uniwekee wepesi katika yote yenye uzito insha'Allah 🙏 33
@
@datqassim23994 years agoNakuomba yaa rabbi niondolee maradhi yanayonikabili naamini hakuna kubwa kwk... Amin😪 9
@
@tausihasheem50514 years agoYarabi ninusur na maradhi yawe madogo na ata makubwa makubwa... Inshallah 🤲🤲🤲 10
@
@omarysaidi55474 years agoAmina Allah atujaalie wote tunoisikiliza dua hii 20
@
@zubedaangomwile97410 months agoYaaah ALLAH nakuomba unisaidie katika tabu anayopitia mdogo wangu atuna msaada zaidi yako ALLAH 😢😢 1
@
@natashasaidy.last yearAllah nijaalie mema mja wako niondolee maradhi nipe hitaji la moyp wangu kupitia dua hii yarabby🙏 1
@
@nasrybinahmad42454 months agoAllah(sw) naomba kupitia dua hii iniponye maradhi yangu nisimame na kutembea tena Ameen 1
@
@ukhtyhalimaismailbakari49313 years agoAmiin Yarrab Allah atujaalie mwisho mwema yarrab 🙏 🙏 5
@
@mohamedmack54504 years agoAllah humma ri hamnii irahmatka yaa arhama rrahmii 3
@
@MerryRenatus-ck4lzone week agoKupitia dua hii Ee Mwenyezi Mungu nakuomba tufanyie wepesi katika kila zito tufungulie milango ya rizki na baraka Amini🙏
@
@nadiaharimenshi90752 years agoYaa Allaah yifanye Dua hiyi kuwa ni suluhisho kwa Kila mitihani tulio nayo ya maradhi na utuondoley ugumu wa maisha utupe afya njema sisi nawanetu na familia zetu tufunguwe vifungo tulivyo fungwa natusio wafahamu ya Allaah Kila kwenye zito tuwekey wepesi Allaah,Amin amini amin ...2
@
@saidmasika87383 years agoya Allah nipe mema duniani na kesho haera na kizazi changu 3
@
@ibrahimtuwa86032 years agoYa Allah Niponye na Nikinge na Kila Aina ya Ubaya Kutoka Kwa Kiumbe Cha Aina Yoyoye, Ya Allah Nijaalie Afya Njema Mimi na Watoto Wangu na Familia Yangu Yote Kwa Ujumla, Ya Allah Nijaalie Rizki Ya Halali itakayoweza Kuendesha Maisha Yangu Mimi na Familia Yangu, Ya Allah Nijaalie Mafanikio Katika Maisha Yangu, Ya Allah Ninasue Katika Kila Aina Ya Vifungo na Mitego Mibaya, Ya Allah Niondoshee Nuksi na Mikosi Mbali inayoniandama Katika Maisha Yangu, Ya Allah Niepushe na Magonjwa Mbalimbali Mimi na Watoto Wangu na Familia Yangu. ...36
@
@jasminhassan72262 years agoYa Allah nifanyie wepesi kwa Kila gumu ninalopitia namitihani yote ya kidunia nijalie afya Mimi pamoja na familia yangu amiin 2
@
@officialchuchutv60968 months agoEwe mwenyezi mungu nifanyie wepesi kwa kila gumu kwangu na uwafanyie wepesi wazazi wangu 🙏🙏🙏 1
@
@ommydizzo90252 years agoYa allah naomba unijaalie afya njema mimi na kizazi chetu inshallah amiini🙏 1
@paulinacherement25342 years agoAMIIIN ya alltujaalie istighfaari na shahada mwisho wa umauti inshallah AMIIIN 2
@
@usseneabelnfalume-sr2kx7 months agoYa ALLAH com està DUA Peço para me curar todas as doenças que estão a manifestar no meu corpo e do corpo da minha Mãe. Ya ALLAH... Ya ALLAH 🤲🤲🤲🤲🤲 Amin thumma Amin 🤲😭😭😭😭
@
@Captainkiss10003 weeks agoYa allah unajua yanayo nisumbua na ninayo yahitaji unajua yatakayo nikakwaza na kunikwamisha unajua wabaya wangu na unajua shida zangu ya llah unajua magonjwa yangu na ugumu wa maisha yangu kwa ujumla bas nakuomba kwa dua hii nnayo isikiliza inavyo soma usiku huu ikawe dawa kwa kila baya nililonalo na litakalo kuja na unijaalie yote yalomema na unipe kinga ya kila kitu mpaka mwisho wa maisha yangu unijaalie mwisho mwema mimi na kizazi changu na wazazi wangu na ndugu zangu Hakuna kinacho kushindana upo juu ya kila kitu ndomana tunakuomba wewe ya allah jaalia Allahumma aamiin kwa baraka zatume wetu muhammad swalallahu aleihi wa alihi wa salaam ...
@
@asminasmin43274 years agoAmiin....InshaaAllah Allah atujalie mwisho mwema 4
@
@salmaally22522 years agoYarabi kupitia dua hii tunusuru nakilashari na hasad yaraby, tujaalie afya njema utujaalie umri wenye manufaa sisi na vizazi vyetu ya Allh ,utuondoshee uzito katika nafsizetu navifua vyetu yarabi ,utujaalie husnul hatima yarabi. ...1
@
@rahmahussein12829 months agoAmini mwenyez mungu atupe afya njema kwa binadam wote aniondolee haya matatiz nilokua nayo anijaalie nipone kichwa na nikifika kzn nisiumwe na kitu chochote kile nifanye kaz zang vizur🤲 1
@
@user-tr8on1yf5sone week agoKupitia Dua hii yarab Naomba uniondoshee Vifungo nuksi mikosi na Madeni yote , Na pia Yule Nisie mtaka Niweke Mbali nae Ameena
@
@user-cj3rt7eb1cone week agoYa rabbi tunaomb mwisho mwema utusameh zambi zetuu utupony maradhi yote amiin
@
@nasraamour59192 years agoAmiin yarab namuomba uniondoshe katika haya matatizo naomba unipe Amani ya nafsi yarrab naomba niongoze katika njia sahihi ya kukutukuza ww
@
@user-le2qc2qv1l4 months agoAllah kupitia dua hii Naomba nifanyie wepesi kwa kila jambo nikinge na maradhi na husda Amen inshallah 🙏🙏🥹🥹🥹
@
@user-mo3jg1ru4e10 months agoAllah atufanyie wepesi kwa kila jambo ,amen🙏 1
@
@mesaidikazungu42994 weeks agoYa Allah nakuomba dua hii iwe ndio mwisho wa matitizo yetu tunayo yapitia na ituondolee changa moto za maisha yetu ktk dunia hii na kesho akhera. 🤲🤲
@
@sameeranassir31273 years agoNakuomb mungu unfanyie wepes kwny kila Zito inshaallah 🙏 2
@
@MaryumAbdul-ub4ip6 months agoYaa Allah nijaalie mimi na familia yngu ktk uongofu,ns utukinge na mabalaa yote,tulinde na shari za viumbe vyako kwa dua hii,allahumma amiin
@
@jacklinsalim26543 years agoHee mwenyez mungu naomba unisamehe maovu yangu yote naomba unifungulie milango yangu yote Allah nifanyie wepes kwa maitaj yangu 🙏 1
@
@abeydalsheraw20163 years agoamiin Allah tusamehe makosa yetu na tuondoshee na mazilla yote ya dunia na tupe mwisho mwema 1
@
@mwanakhatibu37224 years agoAmiin yarrabi kila penye uzito kwangu nifanyie wepes mja wako 2
@
@isalushadia45344 years agomashaallah mwenyezi mungu atuepushe na matatizo 7
@
@mohamedally71003 years agoAmeen Nakuomba mwenyezi mungu unifanyie wepesi kila ninalo kuomba la khery unijalie uzidi kuniongoza ktk ibada na yenye mema
@
@meresiarwekaza60423 years agoAmin ya ALLAH...hakuna mbora kuliko wewe YA RAABI 2
@
@ramadhanjuma9450last yearWe mwenyezi mungu nifanyie wepesi katika kazi yamikono yangu nauwalinde wazaziwangu wotewamili 🤲🤲
@
@user-tm3ut4px5s3 months agoYaallah kutokana nahidua na kuomba unikinge kiumbe chochote kileh kibaya mungu nijalie afiya na subirha duniani na angera amini ya Allah
@
@mk-ed5py4 years agoMwenyezi Mungu tuondoshee maradh tupe afya njema,Amin 4
@
@mwantumjaff25893 years agoAmiin ya RABBY, nakuomba niondoshee huzuni, husda na maradhi ktk mwili wngu 🤲🏼🙏🏻 1
@
@sultanmgaya14192 years agoYarabih nakuomba ni nusuru na kila aina ya matatzo yanayonikumba 🙏🏼 1
@
@ashurafundi28732 years agoNakuomba mwenyez mungu niondolee matatizo yote yanayoumiza moyo wangu🙏 1
@
@aishaally4632 years agoMwenyezi mungu naomba unifanyie wepesi kwenye kila jambo Zito liwe jepesi inshallah
@
@idrisaabdallah29494 years agoAmin Allah utuondolee mitihan na utujaalie tuwe waja wema kwako amiin 1
@
@mtupesa2 years agoMashallah.. Allah aikubalie kw hara Dua hii ya Ruqyah🙏🙏 1
@
@user-su7uo3eu5bone week agoEe mwenyezi mungu niondolee husida nifanyie wepesi katika kilahakatizangu Amina
@
@muddymuddy45017 months agoKwa Dua hii ya Allah naomba unisaidie nipate kazi huku ni endako unifungulie milango yenye baraka na uniondolee nuksi na mikosi na unikinge na ubaya wowote utakao jitokeza mbele yang naomba unikinge mm pamoja na familia yang naomba pia ninapotoka hapa kwenda kutafuta kazi naomba nifanikiwe na uniongoze kakta njia ilio sa hihi ya alla naomba nipate rizki isiokuwa na mtihan ya Allah nina Iman hii dua mpaka sasa imeshajibiwa na nnapokwenda ntakutana na baraka zako ya allah na dua hii nna Iman imefka.inshaallah. ...
@
@nuriatintandu2543 years agoEewe mola wetu twakuomba utuondolee viging vya hapa na pale na utuepushe na mabaya yote na utujaalie maisha mema na mwisho mwema yaallha twakuomba utujaalie yalomema🙏🤲🤲
@
@saidkingazi12893 years agoInshaallah, Ya Allah tusamehe makosa yetu, tujalie neema na tuepushe na mabaya. Amein 1
@
@zakiahole6871last yearNamuomba Mwenyezi Mungu amufanyie wepesi baba angu apone haraka tumbo linalomsumbua pamoja na kumuwekea ulinzi wa hali ya juu dhidi ya adui
@
@teddyoscarkasubi59273 years agoYa Allah nisameheme makosa yangu, Ya Allah mzindue mwanangu ajitambue aachane na mambo yake yasiokupendeza wewe mola wetu, mtoe kiumbe wako kwenye kiza kama ulivyomtoa Nabii AYUB KUTOKA KWENYE TUMBO LA PAPA YARAABY, KWA UFALME WAKO NA REHMA ZAKO KILA KITU KINAWEZEKANA AMEEN, TUJAALIE KHERI, TUONDESHEE MARADHI NA HUSDA NA UTUFUNGULIE YALIO NA KHERI KWETU AMEEN, YA ALLAH NIJAALIE MWISHO MWEMA NA UNIFANYIE WEPESI KWENYE YOTE YENYE UZITO AMEEN INSHAALLAH. ...
@
@bahatikiwayi88084 months agoYaarrab tujaalie mwisho mwema na utufanyie wepesi Kwa Kila palipo na uzito amin yaarrab
@
@allthingdranabeauty8 months agoAllah Naomba nifanyie wepesi ,Asante kwa Dua
@
@sabrinaibrahim5064last yearYa allah nikinge na maradhi niondelee matatizo yote niepushe na shari za walimwengu inshaallah 1
@
@ismailysaidy45734 years agoAllah tusaudie kutuondolea balaa na nuks msongo wa mawazo na vifanyie upes viumbe vyote ulivyo viumb 1
@user-sq8pq1xj7m2 years agoYaraabi nakuomba niondoshee hii homa unjalie nipate nafuu kwa haraka maana naumwa sana Ewe Yaraabi nisaidie maana wewe ndiwe unae ona mimi sioni nakuomba kwa imani yangu yote Ameeen insha'Allah
@
@NeemaMpelengana-ws9rn6 months agohee mwenyezi mungu niepushe na kira baya nipe maisha marefu niwaree wanangu ameen
@
@user-jk7mi4nd6i9 months agoYa Allah tuondolee matatizo na mitihani tunayopitia na utupe yale tunayokuomba, Ameen
@
@tchale2663 years agoHeee mwenyezi mungu akuna alie Juu ya kila Kitu duniani au muamuzi zaidiako ya allah tusameee makosa yatu kweli Sisi tuwakosefukwa mwenyezi mungu nakuomba Kwa wakati huu mugumu nijalie uhuru Wa roho na nafsi yangu baba angalia familia uliyo nipa mungu nakuomba wanusuru nauwafari katika matatizo ayaa ambayo solution ni kwakotu yarabii tunakuomba natuna imanikuwa utatusikia mungu Wetu ameen🙏🙏🙏😭😭😭 ...
@
@fadinaabdul36272 years agoAllah nakuomba utujalie afya njema Mimi na family yangu ewe Allah nakuomba utuepushe na kila fedhea za duniani ewe Allah nakuomba utufungulie milango ya ridhiki utuondeshee ufukala ewe Allah nakuomba utujaalie amani na upendo Mimi na family yangu ewe Allah nakuomba utuondeshee chuki baina yetu ewe Allah nakuomba utujaalie mwisho mema inshallah amiiina ...
@
@rashdamsuya7792last yearAllah nifanyie wepec kwa Kila zito kwangu nipe afya njema Mimi pamoja na familia yangu nikinge na husda na Kila sharii eeeeeh mola wangu nifanye niwe wakukushukuru kwa Kila ninalopitia.aamin see
@
@user-eq3mb3rp8h2 months agoYa Allah kupita dua hii unifanyie wepesi kwenye maisha yang
@
@mudymbarouk82792 years agoAmeen Tunamuomba M/mungu atujalie afya njema na atuondolee maradhi
@
@nazminshiraz4579last yearya allah niponye naunikinge naubaya wa aina yoyote kutoka kwa waja mimi nawatoto wangu nafamilia yangu yarabby
@
@athumankassim78014 years agoAllahumma Eee! M/mungu niondolee maladhi yang kwa dua hii 1
@
@monaa95594 years agoAlhamdhlillah niwe mweny kuitiwa shida zangu AminAmin 1
@
@jeanbb13853 years agoAmeen Ee Mwenyezi Mungu nisaidie mimi mkosaji
Related videos for Dua Nzuri ya Kuondosha Kila Aina ya Matatizo:
Eeeh m/mungu naomba utulinde waja wako 17