“Mheshimiwa Rais ninakubali kukosea….ilitakiwa siku hiyo hiyo nitangaze kumfukuza kazi…ninaomba kukiri kwamba nimekosea…” – Waziri Kamwelwe akikiri mbele ya Rais Magufuli juu ya kucheleweshwa kumfukuza kazi Meneja wa Tanroad Mkoa wa Morogoro kutokana na uzembe unaoendelea katika ujenzi wa daraja la Kiyegeya.